Na Ram Mbegeze
Real
Madrid imeendelea kutawala katika duniani baada ya kuingiza wachezaji
saba kati ya 24 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Shirikisho la Soka
la Kimataifa (Fifa).
Kutoka Real Madrid, wachezaji waliongia kwenye tuzo bora ya mchezaji bora Fifa ni
Cristiano Ronaldo, Dani Carvajal, Toni Kroos, Luka Modric, Keylor Navas na Sergio Ramos.
No comments:
Post a Comment